-§-CHADEMA yafunika vibaya Karatu na Kahama..!i..
Sehemu ya Wananchi waliojitokeza kuhudhuria Mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA]huko Karatu. Mweenyekiti wa CHADEMA Taifa na Mbunge wa Hai Mh. Freeman Mbowe akiwahutubia...
View Article-§- Msanii Sajuki afariki dunia..!i..
Marehemu Juma Kilowoko "Sajuki" Staa wa filamu za Kibongo, Juma Kilowoko "Sajuki" amefariki dunia leo alfajiri katika hospital ya taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa. Kwa mujibu wa katibu wa chama...
View Article-§- Mvua Mkoani Singida zaharibu vibaya barabara ielekeayo Mwanza..!i..
Mvua zilizonyesha jana Mkoani Singida zimeharibu vibaya barabara ya kuelekea Mwanza. Wakati ukaranati hafifu wa sehemu za barabara hiyo zilizokumbwa na uharibifu huo ukiendelea mpaka sasa shughuli zote...
View ArticleSakata la Gesi ya Mtwara: Serikali yaidanganya IMF vigezo vya kukopa China...
Hatimaye Serikali ya Tanzania imekiri kuidanganya IMF kwa kulazimisha kukopa kutoka EXIM Bank China fedha za kujengea bomba lenye utata la kusafirishia Gesi ya Mtwara na Lindi hadi DSM. Katika barua...
View ArticleBREAKING NEWS! Jengo la "PPF Tower" Posta mpya- Dsm linaungua moto!
Jengo refu la "PPF Tower" ambalo linaungua moto muda huu, vyombo husika vya zimamoto vinaendelea na jitihada za kuuzima moto huo. Chanzo cha moto huo hakijaweza kujulikana mara moja.
View ArticleBREAKING NEWS! Moto unateketeza Maduka katika kituo cha Mabasi-Mwenge!
Habari za kuaminika zilizoifikia Maisha Times hivi punde zinaripoti kwamba maduka kadhaa ndani ya kituo cha mabasi- Mwenge jijini Dar es salaam yanateketea kwa moto, habari hii ni ya hivi punde na...
View ArticleCHADEMA wamuwakia Spika Makinda!
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa Wakati Spika wa Bunge, Anne Makinda akitangaza kufutwa kwa hoja zote binafsi za wabunge kutokana na vurugu zilizotokea bungeni juzi na jana, Chadema...
View ArticleTANZIA: Askofu Mstaafu Amedeus Msarikie afariki dunia leo alfajiri!
Askofu mstaafu wa kanisa katoliki jimbo la moshi Amedeus Msarikie aliyefariki leo alfajiriAsubuhi ya leo imeripotiwa kuwa Askofu Mstaafu wa Kanisa Katoliki jimbo la Moshi Amedeus Msarikie amefariki leo...
View ArticleTanzia: Askofu Thomas Laizer wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini amefariki dunia!
Kwa mujibu wa Radio Upendo FM, baba Askofu Thomas Laizer wa Dayosisi ya Kaskazini ametutoka hivi punde.Pichani: Askofu Thomas Leizer, katika siku za mwisho za uhai wake, akiwa chumba cha uangalizi...
View Article-}i{- Breaking News! Pope Benedict amejiuzulu wadhifa wake!
Kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Pope Benedict Habari za kuaminika zilizoifikia Maisha Times zinaripoti kwamba Kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Pope Benedict ametangaza uamuzi wake wa kutaka...
View ArticleBreaking News! Padri auawa kwa kupigwa risasi Zanzibar
Taarifa zilizoifikia Maisha Times Blog hivi sasa zinaripoti kwmba Padri Mushi ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Zanzibar, Evarist Mushi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi saa 1.00...
View ArticleUtabiri wa kutokea kwa "Vita" Tanzania katika siku za Usoni!
Natabiri "Civil War" kutokea Africa ndani ya miaka michache ijayo na kuiathiri zaidi nchi ya Tanzania ambayo ndiyo haswa inayogombewa na nchi tajiri kutokana na wingi wa rasilimali zake zenye utajiri...
View Article-}i{- Sheikh Ilunga: Wauweni Maaskofu na Mapadri!
Sheikh Ilunga HassanJuu, Sheikh Ilunga Hassan akiwahamasisha waumini wa imani ya Kiislam kuwaua Viongozi wa imani ya Kikristo "Maaskofu na Mapadri" hamasa ambayo imezaa matunda katika siku chache...
View ArticleALIYEKUWA AKITAPELI WATU MTANDAONI KWA JINA LA RAFIKIELIMU AJULIKANA!
Hashim Mkane, mwenye namba 0765283703 tapeli wa mtandaoni, aliyewatapeli makumi ya wananchi kwa jina la RafikiElimu akiwahadaa kuwapatia kazi katika taasisi mbalimbali. Habari kwa...
View ArticleSIRI ya kutekwa Kibanda, Video ya Lwakatare yazidi kufichua mengi!
Hatimeye siri ya kutekwa, kuteswa na kunyofolewa kuchwa kwa Mhariri Mtendaji wa magazeti ya New Habari, Absolom KIbanda na unaoitwa mkanda wa video wa Willifred Lwakatare, imefichuka rasmi.Kwamba...
View ArticleMembe akanusha tuhuma za kuhusika kumdhuru Kibanda!
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe Afisa Mtendaji Mkuu wa Magazeti ya Habari Corporation Hussein Bashe Afisa Mtendaji Mkuu wa Magazeti ya Habari Corporation Hussein...
View ArticleBen Saanane aanika njama chafu za UVCCM & CCM kukihujumu CHADEMA!
Ben Saanane Chanzo: Group ya CHADEMA vs CCM http://www.facebook.com/groups/cdmccm/525124697547140/?notif_t=group_comment_replyNiliwaonya hawakusikia.Wameenda mbali kuanzisha kundi STOP BEN SAANANE...
View ArticleBreaking News: Serikali imefuta rasmi matokeo yote ya kidato cha nne mwaka 2012!
Serikali imetangaza kuanzia leo kufuta rasmi matokeo yote ya kidato cha nne mwaka 2012 na mitihani yote itasahihishwa upya kwa kutumia utaratibu ule uliotumika katika kusahihisha matokeo ya mwaka 2011....
View Article